Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bocco n level za juu alipokua na umri wa Mzize alikua hakamatikiHii game konkoni aingie na atengeneze jina lake kwa gamondi, awe starting.
Mzinze ni bocco wa yanga.
Lolote litokee
Wakifika mwishoni wanaharibuWanashambulia bila malengo n kama wanakutana tu na ball.. walau huyu silla ana kitu Ila Hana pumzi na chemistry na wenzake
Mzize ni utoto umri wake n mdogoMzize tatizo umri umemtupa mkono akili inataka mwili hautaki
Straika kinda huyo tegemeo la YangaYanga ameshinda tayari hii mechi,kipindi Cha pili naziona goli mbili kwa mbali,kocha toa hiyo taka taka mzize
Hawa hamna kitu aisee.Waliokuwa wanafunga zile tano leo hawajacheza?
Unataka liwakabe wenzakeLile chezaji Jitu kubwa la Azam mbona halichezi. Lina kilo zaidi ya 150 uzito.
Ana umri gani ?Mzize ni utoto umri wake n mdogo
Mfumo wake wa Leo sijui wachezaji wahajauziea? Pengo la Yao Yao linaonekana kua kubwaSina imani na mbinu za kocha Gamondi hapo nyuma sijamuelewa kabisa
Rage alikuwa sahihi .Yanga ni team ambavyo hua inachangamka kwenye match ambazo bahasha zimetembeaView attachment 2790460
[emoji23][emoji23][emoji23]Yanga wakisababisha faulo nje ya boksi lazima wapigwe paip