Waache kuropokaHivi hii ndiyo timu ya kucheza na Madrid na Barcelona!?
WamefungaHongereni yanga kwa ushundu
Hapana, tutacheza na Al-Ahly na wale waarabu wa Algeria.Hivi hii ndiyo timu ya kucheza na Madrid na Barcelona!?
Kwani kesho kuna nini? NikumbusheMbona unazungumzia michuano tofauti?
Nasikia kelele bandaumizaSema huu uzi umepoa sana
Walitangulia Yanga Kufunga....AiseeYale yale ya Ihefu