Nebuchadneza
JF-Expert Member
- Oct 6, 2023
- 435
- 1,093
Na kuna goli la 4 azam wachumba nzetu tunajua jinsi ya kuwakuna vyema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakumbuka Kibu Deniss mkandaji alichomfanyia Diarra tuWanajisaulisha kipa wao manila alichofanywa
Mbona upepo umebadilika tena!! Kulikoni!!!!Walikojifukia ni tsunami pekee ndio inaweza kuwaibua[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira ukiisha tunahamia kwa mhasibu. Leo mpaka atuambie chuo alichosomea 😁😁😁TWENDENI KWA MUHASIBU
Watu wanakupigia tu
Shemeji yupoMnasemajeeeeeeeeee? Nimesema niniiiiiii?
Tunaondoka na mpira leoooooo.
Nakufaaaaaaa, raha hizi kubwa sana jamani!
Kila goti litapigwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]YANGA tamu nyie
Refa maliza mpira,mimi nasinzia hapa
Yanga huwa na mbwembwe sana dakika za mwanzoni ila hawachelewi kukata moto [emoji23]