Nebuchadneza
JF-Expert Member
- Oct 6, 2023
- 435
- 1,093
Tunakumbuka Kibu Deniss mkandaji alichomfanyia Diarra tuWanajisaulisha kipa wao manila alichofanywa
Mbona upepo umebadilika tena!! Kulikoni!!!!Walikojifukia ni tsunami pekee ndio inaweza kuwaibua[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira ukiisha tunahamia kwa mhasibu. Leo mpaka atuambie chuo alichosomea 😁😁😁TWENDENI KWA MUHASIBU
Watu wanakupigia tu
Shemeji yupoMnasemajeeeeeeeeee? Nimesema niniiiiiii?
Tunaondoka na mpira leoooooo.
Nakufaaaaaaa, raha hizi kubwa sana jamani!
Kila goti litapigwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]YANGA tamu nyie
Refa maliza mpira,mimi nasinzia hapa
Yanga huwa na mbwembwe sana dakika za mwanzoni ila hawachelewi kukata moto [emoji23]