Nasubiri hesabbu za kihasibu kutoka kwa okwi boban[emoji23][emoji23][emoji1787]
Refa aongeze dakika hata tuwafunge la 478 mkuu
hahahaha tumekuja mkuu
Amani kwakoMimi sitarudi. Ila naitakia ushindi timu yangu ya Wananchi.
Wana wa jangwani
Half american leo furaha tu. Nimefika best, wametubania kama kawaida yao, wakaachia. Watasema mbona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bantu Lady njoo mama 💚💛💚💛💚💛
Wanajifanya kukamia yanga sisi ndo yangaLazima wasuse ndo tabia Yao tangu wakiwa uarabuni [emoji16]
Pole sanaKama wameamua kuwapa Azam ushindi si wapewe tu jamani? Too much!
Popoma kama popomaWapi popoma mwandamizi GENTAMYCINE
Unaumwa wewe si bure..........Azam ,Ally ahly , cr belouzdad, matema,singida ,Simba wote watatandikwa hapa kwa mkapa viboko tatu tatu
Mwamba tayari karudi kweli simba wachawi walimroga,ila yule mganga wao kafa toka msimu uanzeAzizi
wewe bwege siulisema unaangalia tarifa yahabariKuwa mstaarabu