FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

Sasa tuhamie kwenye ule uzi wetu
Kwa wasio ujua huu hapa... [emoji116][emoji116][emoji116]

 
Waliomsajili wanaona yule ndio Bora ndio maana wamemsajili ungeenda majaribio kiongozi usajiliwe....pole lakini
Inabidi nikujibu tu, lakini mara nyingi siletagi upenzi kwenye uhalisia, mimi na mashabiki maandazi ni vitu viwili tofauti.

Wangapi wanasajiliwa na wanakuja kuwa hovyo, yanga walikuwa na yikpe, simba, arsenal, man u na timu tofauti zishakosea kufanya usajili.
Uhalisia ni kwamba kipa kawachoma hilo liko wazi, ukitaka kuleta ushabiki maandazi nitakuacha tu sababu ndio umeamua kuwa hivyo.
 
"Azizi ki kapiga picha na mpira kisha waka mnyang'anya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…