Haisaidii kitu,leo atawakanda tu ili wazomee vizuri.Wakati wa Mazoezi amezomewa sana hapa
Hizo fataki unaziona wewe peke yako ?Zinafyatuliwa Fataki hapa kwa Mkapa.
Kwa kifupi, Shangwe ni kubwa sana
Kama wewe ni mnyama ni bora watoke sare😄
Hapigwi mtuPiga hao lambalamba!