FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

Azam azam azam nakuitaa mara tatu azam........
Akamikoooo kama kawaidaaaa vunjaaaaaaa miguuu nasema akamikoooooo vunjaaaaa miguuuuu hawa wapuuuziiiiii
Aziz k*ma
Maxmseng*
Skundu
Mzinyeee
Mudafilw*..........
Punguza chuki
 
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Huu uwanja usingetumia kwa vimechi vidogo vidogo kama hivi hadi AFL imalizike. Kuna uchakavu wa pitch, matangazo na maeneo mengine unaenda kufanyika. Sijui hili limeruhusiwa vipi. Kisa tu Yanga wanataka wahakikishe wanacheza mbele ya mabango ya AFL kabla hayajaondolewa.
AFL kwa hapa Bongo ishaisha

Simba kesho anatolewa
 
Yanga 2,Azam 0.
Kila la heri Dar Young African
 
Mi mwanamke ujue? Kwenda sehemu hizo peke yangu siwezi. It’s either home au ofisini na mara chache uwanjani ndiko huangalizia mpira.
Mshawishi mwamba muende, au la, pakua azammax kwenye simu.
 
Huu uwanja usingetumia kwa vimechi vidogo vidogo kama hivi hadi AFL imalizike. Kuna uchakavu wa pitch, matangazo na maeneo mengine unaenda kufanyika. Sijui hili limeruhusiwa vipi. Kisa tu Yanga wanataka wahakikishe wanacheza mbele ya mabango ya AFL kabla hayajaondolewa.
Unapaswa kusikilizwa Wallah
JamiiForums1998779437.jpg
 
Back
Top Bottom