Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
YANGA 5
Azam 0
Azam 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira upi?Wana Yanga wenzangu kwa mpira huu hapana, kocha bado ana kazi ngumu
Adrika mashariki ni kweli timu kubwa ni Simba na Tp mazembeKwanini tunaongelea hivi vitimu vidogo vidogo wakati hapa Adrika Mashariki na kati wanaume ni Simba na T.P. Mazembe tu.
Punguza chukiAzam azam azam nakuitaa mara tatu azam........
Akamikoooo kama kawaidaaaa vunjaaaaaaa miguuu nasema akamikoooooo vunjaaaaa miguuuuu hawa wapuuuziiiiii
Aziz k*ma
Maxmseng*
Skundu
Mzinyeee
Mudafilw*..........
AFL kwa hapa Bongo ishaishaHuu uwanja usingetumia kwa vimechi vidogo vidogo kama hivi hadi AFL imalizike. Kuna uchakavu wa pitch, matangazo na maeneo mengine unaenda kufanyika. Sijui hili limeruhusiwa vipi. Kisa tu Yanga wanataka wahakikishe wanacheza mbele ya mabango ya AFL kabla hayajaondolewa.
Jibu zuriAFL kwa hapa Bongo ishaisha
Simba kesho anatolewa
Mshawishi mwamba muende, au la, pakua azammax kwenye simu.Mi mwanamke ujue? Kwenda sehemu hizo peke yangu siwezi. It’s either home au ofisini na mara chache uwanjani ndiko huangalizia mpira.
Mmshatuma sadaka kwa mchungaji wenu?Naitakia Yanga ushindi mnono
Unapaswa kusikilizwa WallahHuu uwanja usingetumia kwa vimechi vidogo vidogo kama hivi hadi AFL imalizike. Kuna uchakavu wa pitch, matangazo na maeneo mengine unaenda kufanyika. Sijui hili limeruhusiwa vipi. Kisa tu Yanga wanataka wahakikishe wanacheza mbele ya mabango ya AFL kabla hayajaondolewa.
Vizur [emoji41][emoji41][emoji41]ili tupate utatu mtakatifu wa Simba,Azam na Ihefu.
Azam wafanye kama hivi[emoji116]
View attachment 2790303