FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

Ninaitwa Massawe nipo Kibosho. Ninaitakia Yanga ushindi wa bao mbili bila.
 
Azam azam azam nakuitaa mara tatu azam........
Akamikoooo kama kawaidaaaa vunjaaaaaaa miguuu nasema akamikoooooo vunjaaaaa miguuuuu hawa wapuuuziiiiii
Aziz k*ma
Maxmseng*
Skundu
Mzinyeee
Mudafilw*..........
 
Tunaomba hizi kauli zisibadilike baada ya mechi ,maana kawaida ya Makolo baada ya Yanga kushinda utasikia kauli mbalimbali mara mmekutana na timu dhaifu ,bahasha nk
Hata kwenye ile game ya Ihefu tunaojua mpira tulitoa maoni kama haya, ila nyinyi mashabiki viazi mkaamini kwamba Yanga Sc ni LAZIMA ashinde bila kujua mpira una matokeo matatu. Kilichotokea siku hiyo, kila mtu anajua.
 
Azam 1 mbona tu.inanitosha hata msipo shinda.nipeni point 1 tu.
Msifanye kama ihefu
 
Hata kwenye ile game ya Ihefu tunaojua mpira tulitoa maoni kama haya, ila nyinyi mashabiki viazi mkaamini kwamba Yanga Sc ni LAZIMA ashinde bila kujua mpira una matokeo matatu. Kilichotokea siku hiyo, kila mtu anajua.
Bila Tatu Malogo leo habari zingekua zingine ila mwisho wenu umefika
 
Mabingwa watetezi na wataalamu wa kutandaza soka safi,soka burudani nk watakuwepo uwanjani leo kupigania point 3 muhimu dhidi ya azam wanalambalba

Bila kupapasa nasema leo azamu anafungwa za kutosha na iwapo yanga ikifungwa basi nipigwe Ban

Mwanambarali
 
.
JamiiForums2071048328.jpg
 
Leo Yanga anaenda kukaa paleee juu ya msimamo wa ligi, hakika hatotoka tena.

Yanga 2 - 0 Azam.
 
Back
Top Bottom