FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

Mpaka huo muda kufika sijui wenye nchi yao watakuwa wamerudisha umeme? Mambo ya kipuuzi sana yanaendelea…
Naweza kukosa mechi hivihivi!
Baada ya kupatwa na changamoto km hiyo siku za nyuma nikadanlod app ya Azam max alaf nikatupia umo namba za king'amuz kwa najigweda tu ingawaje lile vaib la makelele huwa nalikosa[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Daima mbele......! Kila kheri wananchii
.
JamiiForums2071048328.jpg
 
Kila la kheri wananchi [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
Ukitaka kuepuka maumivu kwenye mechi hii hauna budi kushabikia Yanga ,japo mimi ni Azam leo nimeamua nishabikie Yanga kwa mechi hii tuu maana ukienda kwengine maumivu hayaepukiki .

Makolo fuateni ushauri huo..
 
Wameshachukua umeme wao alafu haya masenge yanataka mwakani na mwaka 2025 yachaguliwe tena na yatutawale. Pumbavu zao.
 
Baada ya kupatwa na changamoto km hiyo siku za nyuma nikadanlod app ya Azam max alaf nikatupia umo namba za king'amuz kwa najigweda tu ingawaje lile vaib la makelele huwa nalikosa[emoji41][emoji41][emoji41]
Ninayo ila sipendi kuitumia maana napenda kuijadili mechi wakati inaendelea na wadau hapa.
Lakini zaidi nitachat vipi na babe sasa?
Dakika 45 nyingi sana bila kumsikia.
 
Match Day.

Young African Sports Club Vs Azam Football Club.

Muda 12:30 Jioni.

Benjamin Mkapa Stadium.

Ni game kali, yenye kutaka ushindi.

Je, Azam atakubali kuendelea kuwa kibonde wa Yanga?

Tukutane kwa Mkapa.

Daima Mbele, Nyuma Mwiko.

All the Best Yanga.
Hizi mechi kubwa Bajana ana zikamiaga sana mpaka kufikia hatua ya kucheza rafu za kijinga.
 
Huu uwanja usingetumia kwa vimechi vidogo vidogo kama hivi hadi AFL imalizike. Kuna uchakavu wa pitch, matangazo na maeneo mengine unaenda kufanyika. Sijui hili limeruhusiwa vipi. Kisa tu Yanga wanataka wahakikishe wanacheza mbele ya mabango ya AFL kabla hayajaondolewa.
Mngejenga uwanja wenu Bunju
 
Back
Top Bottom