Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi niliifata single bet nasubiri Tu mafaranga [emoji91]Nilichoona ni bora kubeti game za kiafrica maana zina odds nying .
Imagine hii gam over 2.5 ina odds 2.4
Kama Yanga Sc wasipofanya mabadiliko kwenye idara ya ushambuliaji, tatizo ni kwamba atatoka nani na aingie nani..?Hii mechi kuna uwezekano mkubwa Azam kushinda.
AFL camera zake ni 4k qualityNusu iwe goli Diara kacheza kona
Labda ashinde njaa Azam Hana plan yyt n Bora liende kipindi cha pili atapigwa Goli mbili ...Hii mechi kuna uwezekano mkubwa Azam kushinda.
Huyu mzize ndiye ategemewe kuifungua ngome ya wachezaji wa Ahly kwenye zile ndoto zenu za kuwapiga nje ndani.?
Moja kati ya udhaifu wa Mzize ni offside zisizo na maana.
Linatakiwa goli moja haijalishi nani atashindaMi niliifata single bet nasubiri Tu mafaranga [emoji91]
Mbona wameshambulia hapa mwishoni mwanzo mwishoLabda ashinde njaa Azam Hana plan yyt n Bora liende kipindi cha pili atapigwa Goli mbili ...
Mchezaji wetu chipukizi.‘Tuwachie’ straika letu.. Nzize ni Aaalandi ntupu [emoji23][emoji23][emoji23]
ikiwa hamjatoa sadaka kwa mchungaji wenu sahau kushinda, mpaka sasa mnapigishwa kwata ni vijana wa SSBNafsi yangu leo haina wasiwasi na inanipa uhakika wa Yanga kushinda bao tatu au zaidi.
Msishangae bao zikwa tano.
MUda utasema.
Kama Yanga Sc wasipofanya mabadiliko kwenye idara ya ushambuliaji, tatizo ni kwamba atatoka nani na aingie nani..?
Alaaa !!Ile siku Azam media walitumia rasilimali zao zote kujikosha maana wao ndio walikuwa wazalishaji wakuu wa matangazo, sasa hapa wamfurahishe nani.?
ili akiwa anakul sub asilalamik tnMbona wameshambulia hapa mwishoni mwanzo mwisho
Alitakiwa aanze konkoni?Mbona wameshambulia hapa mwishoni mwanzo mwisho