FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

Azam hawana golikipa, ni game ya pili hii nawatizama kipa anawaua, shirikisho aliwauwa na leo kawaua..

Game nzuri, pira linatembea timu zote, nguvu kubwa ya yanga ni pale kati, zouazoua,azizi, na maxi hawa ni midfielders, wanashiriki kuchezesha timu, wanafanya overload hapo kati
Yule golini ni kolokoloni !!?
 
Azam hawana golikipa, ni game ya pili hii nawatizama kipa anawaua, shirikisho aliwauwa na leo kawaua..

Game nzuri, pira linatembea timu zote, nguvu kubwa ya yanga ni pale kati, zouazoua,azizi, na maxi hawa ni midfielders, wanashiriki kuchezesha timu, wanafanya overload hapo kati
Mechi ijayo kawadakie

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom