FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni Asset na siyo Liablity kwa Young Africans , Thamani yake ilikuwa ni zaidi ya millioni 400 wakati wa Ununuzi wake .Kifupi Yanga wameingiza faida ya zaidi ya milioni 400 ikiwa ongezeko (Gain) la thamani ya mchezaji, Manunuzi ya mchezaji yamekuwa na tija kubwa kwa Wananchi kwa kuimarisha safu ya ushambuliaji , kuimarisha Perfomance,Cashflows na Position ya Club.

Hii Faida inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo baada ya kufanya masahisho(correction of error)ya kosa la kijinga la Mhasibu kilaza iliyetambua hasara ya 400m wakati wa usajili wa Key.

1.(Reversal)Masahisho ya kosa la kijinga la Mhasibu Kilaza:

Dr. Provision of Loss 400m

Cr. Registration 400m

2.Kutambua Ongezeko la thamani ya Mchezaji sokoni (Recognition of Gain in Player’s Fair value)

Dr.Player’s Retention Rights 400 m

Cr.Gain in Player’s Fair value 400 m


Mwisho wa Mwaka hiyo Faida(Gain) inaonekana kwenye Other Comprehensive Income(OCI).


Daima Mbele Nyuma Mwiko.

Wako Mtiifu,

Article.
Subiri hapo hapo nakuitia CPA Dr OKWI.
 
Uchawi kwani ndio unacheza ww kweli kolowizard
Ondoa ujinga kichwani mwako dogo, Yanga si timu ya maana kimataifa. Kilichotikea mwaka huu kwao ni maajab tu, usichukulie kuwa ndiyo uhalisia wenu. Hii hutokea kila baada ya miaka 70 kwenu, subiri haibu ya makundi ianze ndipo utagundia kuwa Yanga si chochote si lolote kimataifa.
 
Ondoa ujinga kichwani mwako dogo, Yanga si timu ya maana kimataifa. Kilichotikea mwaka huu kwao ni maajab tu, usichukulie kuwa ndiyo uhalisia wenu. Hii hutokea kila baada ya miaka 70 kwenu, subiri haibu ya makundi ianze ndipo utagundia kuwa Yanga si chochote si lolote kimataifa.
Haha! eti Haibu mkuu wewe mwenyeji wa wapi?
 
Back
Top Bottom