FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

Onana kafanye binge moja la save Man U wamenusurika hapa.
 
Musonda hamna Kitu....

Yanga Wangemuazima Kibu Denga kutoka Simba.....awake presha pale mbele
 
Inabidi uto mpigwe kimoja kwanza akili ikae sawa
 
Belozdad bila shaka wataishi na kanuni yetu ukikutana na mwanamke nywele kaweka blich condom 9 na dozi ya Azuma lazima uwe nazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…