hata mm ntakuambia al ahli anashinda lkn mpira hauna mwenyewSasa hapa ndio ile kauli ya maajabu ya soka.
Ila katika data za kawaida kabisa nafasi kubwa ya ushindi anapewa Al Ahly
Mwenye goli nyingi alizomfunga nani?Sasa pont sawa, magoli ya kufunga na kufungwa ni sawa??
Mwenye goli nyingi anafuzu bila kuangalia hiyo H2H.
ππ wengi tu.Nani anaumia huko alipooo??
Ni kawaida Ahly ni timu kubwa Africa, hamna timu Tz itakayocheza nayo halafu hiyo timu ikapewa nafasi kubwa ya ushindi.Sasa hapa ndio ile kauli ya maajabu ya soka.
Ila katika data za kawaida kabisa nafasi kubwa ya ushindi anapewa Al Ahly
Hilo hapooo rafikiii Ki Aziz πͺπͺπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ½π€Έπ½π€Έπ½π€Έπ½π€Έπ½ zingine zinakuja rafiki.
MnaniachaNdugu yangu adriz twende kwa mwasibu. ππ