Sasa ivi Kiko wapi sasa weweπππYaani timu zote ziko vizuri Kuzuia kuliko kutafuta magoli ππ
Unless tuache kusajili kimazoea. Mambo yameshabadilika.Watatufunga Tena, hatuna uwezo wa kuwazuia. Wana miaka ya kutambua hapa Tanzania
Ila Pacome kaniboa ilikuwa kidogo nishudie goli kapiga fyongo na kufanya uchoyo paleLa pili ni Aziz Ki
La tatu ni Musonda.
πππ
Mungu kakulaaani wewe hii ndio Yanga SC wewe ππBado sijaona Dalili ya Yanga kushinda na hata Wakipata goli ,CR watafunguka hivyo kutafuta magoli maana Wanaonekana Wana uwezo mkubwa Kwa mchezaji mmja mmja kushinda Yanga.
Ondoa huo ujinga kichwani kwako kwanza
Wametumia nguvu nyingi sana mpaka sasaWachezaji kama wachezaji wamechoka, wanafanya makosa mengi sana...
Wakiendelea hivi, hawa waarabu watatupia goli...
Kwani Yanga hawakosi au TV yako inaonesha upande mmoja tu.Utopolo wanakoswa koswa hapa
Yaani tungekuwa tunaongea mengine saa hii.Ila Pacome kaniboa ilikuwa kidogo nishudie goli kapiga fyongo na kufanya uchoyo pale
Msitupangie nyie si mlisema hatutoboiHii game ndio ya kufuzu makundi baada ya hapa mkishindwa msimlaumu yeyote.