Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana furaha na ushindi, baadae ata tafakar zaidi.Sasa Mbona Diara Anapoteza Muda na Wapo na Goal 3?
Watatufunga Tena, hatuna uwezo wa kuwazuia. Wana miaka ya kutambua hapa TanzaniaMkuu, jamaa wanatisha. Mpaka nimeingia woga itakuaje tukikutana nao tena.
Hapo naona majini na wachezaji ma bahashaNyie mlifungwaje?
Sina papara na Uzi wa kihasibu maana kipindi cha liziko niliandaa makombora zaidi ya 100 sasa nayasogeza karibu na Uzi maana Mwasibu Sele alishaanza Kuota kitambi.Tunaomba ufanye hapa zile hesabu zako za Kihasibu kumhusu mchezaji wetu Aziz Kii kama hutojali. Na Mwalimu wako adriz atakagua kama umepatia, au la.
Mbona unachanganya ndugu ... Mangungu au Mayele?Majini ni usajili Bora na uongozi Bora, uwezi kupanda bangi ukategemea kuvuna mahindi na umbumbu wenu ndio utakaowadidimiza miaka yote, mangungu apewe mingine mitano!
Inahusika nini na nyinyi kutoa Bahasha ili mshinde..Too low! Halafu unajiita eti Dr.!!
La pili ni Aziz KiGoli la pili na 3 wameshinda Nani maana nilitoka kidogo kukuta Uzi umebadilika.
Sawa ila punguzeni uchawiMzee mzima hovyooo
Naam Katibu wa banyeta😆😆, itifaki ita zingatiwa😆Safi kijana masomo mema, usisahau kufunga mlango kuepuka usumbufu
Ondoa huo ujinga kichwani kwako kwanzaInahusika nini na nyinyi kutoa Bahasha ili mshinde..
Kutumia Uchawi na Kugawa hela ili mshinde hakuhusiani na Taaluma yangu..