ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Na Huko kwingine Matokeo yawaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Uto...bado ana next match kule Cairo, huenda lolote likatokea.Yeah itaangaliwa head to head walipokutana au goal difference.
Hapa Mwarabu anahitaji goli 1 tu next match ashinde ili kuwaondoa hawa vyura wa Jangwani kwenye haya mashindano
Huku kimataifa ni kwa Simba tu
Hawa Yanga inabidi tukaze mno Simba, wakifanya walichokifanya shirikisho tutakuwa na nyakati ngumu.Mtakuwa mmetoa kafara sio bure
Uchawi upo apo uwanjani eee umeuona eee ... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wale wapiga kelele sijui mechi ikiisha watasemaje walikuwa wanatuona sisi ni wabovu[emoji23][emoji16]hii ndio Yanga SC
Kabisa. 😂😂😂Tukimaliza hapa tunamfata huko😂😂😂😂
Eti maongezi mengine sawa chambuzi nguli Jf.Siwadharau. Hata ukiangalia vyanzo vya michezo vinavyo predict mechi yao ya marudiano kule Cairo hakuna ambayo inampa nafasi Yanga kupata ushindi
Sidhani kama hizo taasisi zimetoa takwimu kwa kuidharau Yanga.
Na kingine hii mechi yenyewe bado haijaisha, inawezekana baadaye tukawa na maongezi mengine.
Ndio mpira ulivyo.
Majini' hayapandi ndege😂Hata Uto...bado ana next match kule Cairo, huenda lolote likatokea.
Yanga ashinde dhidi ya all ahly au atoe sare, afu belouzdad nae ashinde, wataangalia h2h.Na Huko kwingine Matokeo yawaje?
Yaani yanga anatakiwa awe na magoli mengi tu aliyoshinda kwenye mechi ma belouzdad amepitaHata Uto...bado ana next match kule Cairo, huenda lolote likatokea.
Daima mbeleeeeeeeeee💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚!
Mpira ni mchezo wa wazi mama kubwaMajini' hayapandi ndege😂