Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani nakusalimia mkuuKinachouma ni kwamba hata akishinda Yanga hafuzu.Hapa yenyewe wanahitaji goli 3 ili wafuzu,kitu ambacho hakiwezekani
Yanga hamna hamna ni 5G.Never say never...
Yanga akishinda kuanzia 4-0 ameshafuzu
Mzee mzima hovyoooPesa iliyotoka leo sio mchezo
Nipo aisee. Yaani tumeamua tuwakere kweli kweli.Mrembo upo? Nimeadimika jamvini. Naona leo mmeamua kutukera.
kweli mkuu pesa ya kumnunua pacome, azizi k, mudathir ilikuwa kubwaPesa iliyotoka leo sio mchezo
Kinachouma ni kwamba hata akishinda Yanga hafuzu.Hapa yenyewe wanahitaji goli 3 ili wafuzu,kitu ambacho hakiwezekani
We ni m tamuuuuKinachouma ni kwamba hata akishinda Yanga hafuzu.Hapa yenyewe wanahitaji goli 3 ili wafuzu,kitu ambacho hakiwezekani
Safi kijana masomo mema, usisahau kufunga mlango kuepuka usumbufuMajini ya yanga jua piga kazi Sana.
View attachment 2914995
Ila mpira mzuri.Kwa kweli sina la kuongeza
Naona kuna lingine linanukia, ili mfurahi vizuri. Hongereni sana watani, mnaiwakilisha Tanzania vizuri.Tatu bilaaaaa🤸🤸🤸🤸🤸💚💚💚💚💪💪💪
Ulijua utan sas ndio ivo kama nanyinyi mnaweza wekeni majini kama hamjafa nayoIle story ya majini kumbe ni ya kweli..
Sijui una hali gani hapo ulipo kibuyu kimepasuka,Kinachouma ni kwamba hata akishinda Yanga hafuzu.Hapa yenyewe wanahitaji goli 3 ili wafuzu,kitu ambacho hakiwezekani
Yeah itaangaliwa head to head walipokutana au goal difference.Never say never...
Yanga akishinda kuanzia 4-0 ameshafuzu