DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Hii leo Sikubali yaani Dakika moja magoli.mawili
HUU UONGO SANA
HUU UONGO SANA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrembo upo? Nimeadimika jamvini. Naona leo mmeamua kutukera.Ooooyooo
😂😂😂 muone.Network imekata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani hebu tulizanaaa kwani.Hahahaaa. Hii wiki zilikuja nyuzi nyingi sana za kutudharau.
Aanze kwa Mudathir kwanza kwa Pacome ni mbali mnoChama ajifunze kwa Pacome (Kasi, Nguvu, akili, utulivu)
🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠💚💚💚💚💚💚💪💪💪💪Network imekata
Ni bahasha plus majini haiwezekani Ndani ya Dakika moja 47 na 48 magoal mawili..Semeni ni bahasha basi
mod wana wivu
Nyie mlifungwaje?Hii leo Sikubali yaani Dakika moja magoli.mawili
HUU UONGO SANA
Unaumia ukiwa wapi?Siwadharau. Hata ukiangalia vyanzo vya michezo vinavyo predict mechi yao ya marudiano kule Cairo hakuna ambayo inampa nafasi Yanga kupata ushindi
Sidhani kama hizo taasisi zimetoa takwimu kwa kuidharau Yanga.
Na kingine hii mechi yenyewe bado haijaisha, inawezekana baadaye tukawa na maongezi mengine.
Ndio mpira ulivyo.
Hapo ndo mpo salama, hivyo mnatakiwa muombee hawa jamaa wasiwafunge goli nyingi wale Mediama huku mkipambana msifungwe na Ahly mtoe sare.Mchawi kwema?
Never say never...Yanga bado hawatapita hili kundi, mechi ijayo anapoteza kwa Ahly halafu Belouzidad wanashinda dhidi ya Medeama. Safari ya Yanga itakomea hapo
OKW BOBAN SUNZU uje mara moja nimekusaka sikuoni kabisa hapa umepotelea wapi kwani?