FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongo mbona mbwembwe sanaa, ndo kwanzaa mko mlangoni, hata vyumbani bado.
Mnaanza kutukana wenyejii, woiiiih
Mlongo, marehemu mtarajiwa alikuwa na mdomo sana..!! Marehemu mtarajiwa ni jeuri sana..!! Mlongo, sitashangaa kuwaona hata robo fainali mnaikosa..!!
 
Wale safari imeisha, sisi na majini yetu tumesonga mbele.

Nilipata za ndani kuwa Simba wanataka kumchukua msimu ujao, tujiandae.
Kwamba wanamchukuwa na majini yake, au majini watayarudisha?
 
Mlongo, marehemu mtarajiwa alikuwa na mdomo sana..!! Marehemu mtarajiwa ni jeuri sana..!! Mlongo, sitashangaa kuwaona hata robo fainali mnaikosa..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulizana mlongo, sisemii kituu.
Wacha tusubiri tar 2.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Karibuni kwenye kombe letu la robo fainali tuliloridhika nalo wenyewe, kwa wachezaji mlionao mkikaza fainali ile pale, sisi tuendelee kuhangaika na maveteran wetu
Hahahaaa. Ahsante sana Mtani.

Poleni sana mana hadi imefikia hatua mna jina lenu jipya kina Mwakarobo . 😂😂.
 
Wakiyataka tutawapa wahangaike nayo. [emoji23]
Tafadhari Naomba U-reply Kwenye Uzi Wetu Ule Pinned Wa Young Africans Official Maana Najaribu Kuingia Hapa Wanataka Niingie Kwa Web.


Hebu Saidia Ku-reply Kule Uzi Upande Juu Maana Watu Wameumbwa Kusahau[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…