Hivi na wewe ni Uto?Mods nawazoom ,saa kumi na mbili badge ya live isome mapemaaaa
πππ
Kabisa...πππ
Utopwinyox washamba washamba tuNaomba kujua, hivi kwanini game za Simba hakuna maajabu kama kafa sisimizi tu ila akicheza Yanga kuna vibe kali sana
Yani Taifa lote linaamka, hiv kuna siri gani kati ya Yanga na hii nchi yetu?
ππ ubunifu kwao ni zeroo.Naomba kujua, hivi kwanini game za Simba hakuna maajabu kama kafa sisimizi tu ila akicheza Yanga kuna vibe kali sana
Yani Taifa lote linaamka, hiv kuna siri gani kati ya Yanga na hii nchi yetu?
Hivi na wewe ni Uto?
Leo nitacheka sana kwa kweli!!Sio uto bana Young Africans fan lia lia bleach bleachππππππ
Msalimie sana ujumbe wangu kwake akushikilie ile saa mwarabu ameshapigika na wewe huamini unachokiona. πKabisa...
Nasubiria tu muda hapa.
Niko na binti mmoja hapa Uto lia lia πππ
Ila best Kamwe amejua sana kutushughulisha na hizo bleach. ππSio uto bana Young Africans fan lia lia bleach bleachππππππ
Muwacheeee baba wa watu na bleach yake hebu. ππ"Leo Yanga tupo na kibonde wa uarabuni tutampiga nje ndani......."
Alisikika mbaba mmoja aliyepaka bleach akitamba pale river side ππ
Ila best Kamwe amejua baba kutushughulisha na hizo bleach. ππ
Yaani acha kabisa na mashabiki pia katupata yaani hatumwachi nyuma peke yake. ππMsemaji tumepata aiseee anajua kuwashughulisha majirani. Pia kasaidia kumfunga mdomo manara kwa ubunifu
Sikumfanya kitu nilimwacha atambe tu hadi alipokuja daladala ya Temeke akadandia na kusepa zake.Muwacheeee baba wa watu na bleach yake hebu. ππ