Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
niniKumekuchaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niniKumekuchaaaaaaaa
Teh tehWashambiliaji wa Uto wamelegea viuno wanashindwa kufunga
Sema tenaBado sijaona Dalili ya Yanga kushinda na hata Wakipata goli ,CR watafunguka hivyo kutafuta magoli maana Wanaonekana Wana uwezo mkubwa Kwa mchezaji mmja mmja kushinda Yanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee jua kumekuchaaa.nini
Hivi Makolo mnajisikiaje mkiona Yanga akicheza kisha ulinganishe na undunduka wenu ukiwa uwanjani ?Gooooooal Mudathiri
🤸🏽🤸🏽🤸🏽🤸🏽🤸🏽 zingine zinakuja rafiki.Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiii🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸
kutangulia sio kufika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee jua kumekuchaaa.
Wapigwe Tabu Lele tu kama jirani zetu.Haya sasa.
Sasa andika vizuri tukuelewe 'alisha' ndiyo kitu gani?Hivi Makolo mnajisikiaje mkiona Yanga akicheza Alisha ulinganishe na undunduka wenu ukiwa uwanjani ?
Ushindi ni kuvuka hatua ya makundi sio kushinda mechi ambayo haikupeleki popoteHivi Makolo mnajisikiaje mkiona Yanga akicheza Alisha ulinganishe na undunduka wenu ukiwa uwanjani ?