FT: Yanga SC 4-0 Kagera sugar | NBC premium League | 1 Feb,2025 | KMC Complex

FT: Yanga SC 4-0 Kagera sugar | NBC premium League | 1 Feb,2025 | KMC Complex

Hili litimu linabebwa ili iweje? maana mbali na ligi huko kwingine hamna kitu
 
Leo nimejaribu kuangalia mpira wa bongo naona nimeshindwa. Unaona kabisa standards za timu zinazocheza ni mbali mbali.
Hii kagera haistahili hata kuwepo daraja la 2, ukilinganisha standard na quality ya yanga.
 
Ni kwanini kocha rama anasema ligi ni nyepesi ila huko caf hali inakua tete kwa upande wa yanga shida hasa ni nini
 
Leo nimejaribu kuangalia mpira wa bongo naona nimeshindwa. Unaona kabisa standards za timu zinazocheza ni mbali mbali.
Hii kagera haistahili hata kuwepo daraja la 2, ukilinganisha standard na quality ya yanga.
Ligi ya bongo ni rahisi kwa hizi timu mbili za Simba na Yanga.
 
mgeni wa Burkina Faso kwa Ibrahim Traore amekosa penati ya wazi ingawa yenye utata
Tangu lini penati tata ikatikisa nyavu?

Hapo hata Hamisa Mobeto hana hatia kwa beibe wake kukosa penati 😂😂
 
Uto wataoongoza ligi kwa masaa 24 then mnyama anakuja kuwafurusha 🐸
 
Leo nimejaribu kuangalia mpira wa bongo naona nimeshindwa. Unaona kabisa standards za timu zinazocheza ni mbali mbali.
Hii kagera haistahili hata kuwepo daraja la 2, ukilinganisha standard na quality ya yanga.
Kauli tata za makocha wa Yanga huwa zinakuja kueleweka baadaye. Hata Luc Eymael nilikuja kumuelewa baadaye
 
Kagera imesafiri kwa bus toka kagera hahahaaaaa
 
Simba kafungwa lini na hizi timu? Je nao wanatoa bahasha? Tunashindwa kukubali kuwa hizi timu hazina ubora wa kutoa ushindani kutokana na kuzidiwa kiuwekezaji kwa Simba na Yanga ikitokea ni bahati tu ila hazina viwango vya kushindana na Simba na Yanga kimpira uwanjani.
Issue sio Simba kushinda au Yanga kushinda. Namna mchezo ilivyo ndio jambo la kuzingatia. Intensity ya mchezo na wachezaji ndio kwangu cha msingi. Angalia namna wanavyocheza utadhani wameokotwa mitaa ya Kyaka au Bunazi na kuoandishwa mabasi waende Dar kucheza. Hii biashara ya kuwekeza katika soka Tanzania ina changamoto sana. Mimi huwa sipendi kumlipa mtu ambaye hajitumi.
 
Back
Top Bottom