Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Very cheap. Halafu huyu refa Mwinchui sijawahi kumuelewa. Namuona kama hayuko fit kwa kazi hiyo.Yanga naona imepewa penalties mbili ambazo ni very cheap penalties.
Pathetic officiating
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very cheap. Halafu huyu refa Mwinchui sijawahi kumuelewa. Namuona kama hayuko fit kwa kazi hiyo.Yanga naona imepewa penalties mbili ambazo ni very cheap penalties.
Pathetic officiating
Kuna tatizo. Rushwa ipo nje nje. Loop holes zipo nyingi sana za match fixing kama mdhamini wa team fulani kuwa mdhamini wa team nyingine kadhaa.Pia timu zenye ushindani ni 3 tu tofauti na ligi zingine.
Kwaiyo ulitaka yanga ndio iwalipie usafiri wa ndege,,mbumbumbu mbona mnajivua sana nguo aiseeKagera imesafiri kwa bus toka kagera hahahaaaaa
Tz tuna ujinga kwenye kila kitu.Kuna tatizo. Rushwa ipo nje nje. Loop holes zipo nyingi sana za match fixing kama mdhamini wa team fulani kuwa mdhamini wa team nyingine kadhaa.
Kwa hii Simba mbovu?Mungu atupe uzima tufike hiyo 08/03
Hata mimi!Toka yanga watoke CAF sijui nawaonaje..wananikera kishenzi
Hawa wachezaji wa Hamgembe United choka mbaya!!Issue sio Simba kushinda au Yanga kushinda. Namna mchezo ilivyo ndio jambo la kuzingatia. Intensity ya mchezo na wachezaji ndio kwangu cha msingi. Angalia namna wanavyocheza utadhani wameokotwa mitaa ya Kyaka au Bunazi na kuoandishwa mabasi waende Dar kucheza. Hii biashara ya kuwekeza katika soka Tanzania ina changamoto sana. Mimi huwa sipendi kumlipa mtu ambaye hajitumi.
Peleka maoni yako pale tff Kuna sanduku la maoni aliwai kusema Msemaji wenu,,vinginevyo Kaa kimyaKuna tatizo. Rushwa ipo nje nje. Loop holes zipo nyingi sana za match fixing kama mdhamini wa team fulani kuwa mdhamini wa team nyingine kadhaa.
Unaonaje umsaidie Mobeto kazi?Hata mimi!
FTToeni update wakuu huku tanesco wamechukua umeme kutulinda dhidi ya radi
SafiFT
4-0
Nataka kukusaidia weweUnaonaje umsaidie Mobeto kazi?
Ipo robo fainaliKwa hii Simba mbovu?
Ahahahah yan hata washinde 100, najisikia kero lle mbayaHata mimi!
Ukitaka huo usawa basi inabidi timu zote 15 zinazoshiriki ligi kuu ziwe na uwezo unaokaribiana kiuchumi ambapo timu zote zitakuwa na uwezo wa kuchukua professional players wenye viwango, uongozi na benchi la ufundi imara na kuweza kusafiri kwa ndege. Timu inatoka Bukoba kwa gari halafu ije icheze mpira unaoleweka na wa ushindani ni jambo gumu.Issue sio Simba kushinda au Yanga kushinda. Namna mchezo ilivyo ndio jambo la kuzingatia. Intensity ya mchezo na wachezaji ndio kwangu cha msingi. Angalia namna wanavyocheza utadhani wameokotwa mitaa ya Kyaka au Bunazi na kuoandishwa mabasi waende Dar kucheza. Hii biashara ya kuwekeza katika soka Tanzania ina changamoto sana. Mimi huwa sipendi kumlipa mtu ambaye hajitumi.