Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Button ya live iondoke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Which fire?Yanga on fire
Ilibakia moja wapigwe mkono kama kaka zao SimbaFT
4-0
Duh kweli Tanzania hamna mpira. Sio siri kocha wa Yanga alisema ligi ya bongo ni rahisi.
Kuna siku nitakuja kutoa darasa huru la jinsi ya kuchagua mechi za Yanga za kuangalia.Mpira wa bongo kuangalia ni aibu. Kwa hizi penalty..?
Wewe ndo masta wa live hapa JF...Kikosi kinachoanza dhidi ya Kagera Sugar🔰💪🏽
View attachment 3221275
Dakika ya 15
Mzize anakosa goli la wazi
Dakika ya 17
Yng 0 -0 kgr
Dakika ya 20
Kagera sugar wanapata Free kick
Dakika ya 21
Yanga SC wanapata kona ya kwanza
Dakika ya 29 bado ni 0 kwa 0
Dakika ya 31
Mzize kambaaa
Dakika ya 41
Yng 1-0 kgr
Dakika ya 45+5
HT: Yanga SC 1-0 Kagera Sugar
View attachment 3221274
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 53
Kagera sugar wanafanya mashambulizi dube anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 54
Yanga SC wanapata kona ya pili
Dakika ya 57
Dube anakosa nafasi ya wazi hapa
Dakika ya 59
Mudathir goal chuma cha pili
Dakika ya 70
Dube anakosa nafasi ya wazi
Yanga SC wanapata kona
Dakika ya 77
Yanga SC wanapata penati
Anaenda kupiga pacome goal chuma cha 3
Dakika ya 85
Yanga SC wanapata kona
Musondaaaaa goal chuma ya 4
Dakika ya 89
Kagera sugar wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 90+6
Na ukiona wivu Kagera kufungwa 4 ujue Kuna wengine walishapigwa 5!Ukiona Uto anaongoza ligi ujue Mnyama hajacheza
Hivi Aucho ana shida gani na TFF?Ilibakia moja wapigwe mkono kama kaka zao Simba
Ndio 😀 Shukrani sana mkuuWewe ndo masta wa live hapa JF...
Mie mwenyewe nimeshangaa sana 😀Hivi Aucho ana shida gani na TFF?
Leo alipaswa kuwa Man of the Match.
Ajabu kawa Max aliyetokea Benchi
Wako robo fainali ujue lakini
BaelezeeMkuu shirikisho tuliipita hio robo bila kuchoma uwanja wa watu ujue
mafala tuMAXI Nzengeli mchezaji bora wa mechi..
Huwa wanatumia vigezo gani?
Ni wapumbavu sana NBCmafala tu
Inashinda kila mechi halafu inashika nafasi ya pili?Mechi za Yanga za ligi kuziangalia ni kupoteza muda tu.
Maana haiwezekani timu inashinda kila mechi.
Lazima kutakuwa na mambo ya ziada yanafanyika.
Sasa hivi mngechoma uwanja mngepitaMkuu shirikisho tuliipita hio robo bila kuchoma uwanja wa watu ujue
Em elezea kwanza utata wa ile penati?Ila huku kwa Yanga wazawa wa kitanzania ndio wamefunga, halafu mgeni wa Burkina Faso kwa Ibrahim Traore amekosa penati ya wazi ingawa yenye utata
Mkuu kisichoeleweka hapo nini? Kwamba wanavyocheza Kagera Sugar ndivyo wanavyocheza Al Hilal?Ni kwanini kocha rama anasema ligi ni nyepesi ila huko caf hali inakua tete kwa upande wa yanga shida hasa ni nini