FT: Yanga SC 4-0 Kagera sugar | NBC premium League | 1 Feb,2025 | KMC Complex

FT: Yanga SC 4-0 Kagera sugar | NBC premium League | 1 Feb,2025 | KMC Complex

Waze wa kuhonga team pinzani wanalejea uwanjani huku kikosi kikiwa chini ya mwalimu Rama cha msingi aambiwe ukweli kua game hua zinachezwa nje wa uwanja sio amaiona ligi yetu nyepesi
Mechi za Yanga za ligi kuziangalia ni kupoteza muda tu.

Maana haiwezekani timu inashinda kila mechi.

Lazima kutakuwa na mambo ya ziada yanafanyika.
 
Ila tuwe wakweli wachezaji wengi wa kitanzania wana skills ndogo sana za mpira. Hawa Kagera Sugar ni mfano wa wazi wa wachezaji wetu. Wanapoteza mipira kiwepesi sana
Ila huku kwa Yanga wazawa wa kitanzania ndio wamefunga, halafu mgeni wa Burkina Faso kwa Ibrahim Traore amekosa penati ya wazi ingawa yenye utata
 
Mechi za Yanga za ligi kuziangalia ni kupoteza muda tu.

Maana haiwezekani timu inashinda kila mechi.

Lazima kutakuwa na mambo ya ziada yanafanyika.

Mbona Simba anashinda kila mechi je kuna mambo ya ziada Simba hufanya? Mbona ushabiki unawafanya watu hata uwezo wa kufikiria upungue? Timu za Tanzania nyingi zina uwezo mdogo sana ukishindwa kupata point ni uzembe wako ila hawana ushindani labda kidogo Azam. Wewe hushangai Simba imepoteza mechi moja tu dhidi ya Yanga na sare moja pekee kwa michezo zaidi ya 13
 
Kama imeenda mpaka imekuwa kwake ni kawaida, kwanini anapewa yeye nafasi ya kupiga penalt?

Hakuna wengine?

Hamjifunzi kwa Tp Mazembe ambao walimpisha kipa wao kupiga penalt?
Nadhani benchi la ufundi litalifanyia kazi hilo
 
Ila huku kwa Yanga wazawa wa kitanzania ndio wamefunga, halafu mgeni wa Burkina Faso kwa Ibrahim Traore amekosa penati ya wazi ingawa yenye utata
Basi labda ule usemi wa bahasha ni kweli. Hakiyani, mi ningekuwa ndio mlipa mishahara hawa wachezaji sijui ingekuwaje. Yaani wachezaji hata akili ya kujua mpira uupige vipi hawana?
 
1000048112.jpg

Kinda la miaka 21. Kuna watu watakuja kuuziwa mbuzi kwenye gunia
 
Duh kweli Tanzania hamna mpira. Sio siri kocha wa Yanga alisema ligi ya bongo ni rahisi.
 
Basi labda ule usemi wa bahasha ni kweli. Hakiyani, mi ningekuwa ndio mlipa mishahara hawa wachezaji sijui ingekuwaje. Yaani wachezaji hata akili ya kujua mpira uupige vipi hawana?
Simba kafungwa lini na hizi timu? Je nao wanatoa bahasha? Tunashindwa kukubali kuwa hizi timu hazina ubora wa kutoa ushindani kutokana na kuzidiwa kiuwekezaji kwa Simba na Yanga ikitokea ni bahati tu ila hazina viwango vya kushindana na Simba na Yanga kimpira uwanjani.
 
Simba kafungwa lini na hizi timu? Je nao wanatoa bahasha? Tunashindwa kukubali kuwa hizi timu hazina ubora wa kutoa ushindani kutokana na kuzidiwa kiuwekezaji kwa Simba na Yanga ikitokea ni bahati tu ila hazina viwango vya kushindana na Simba na Yanga kimpira uwanjani.
Penati gani kweni ile
 
Back
Top Bottom