FT: Yanga SC 4-0 Pamba jiji SC | NBC Premier League | Azam Complex | Octoba 03, 2024

Akuna timu kwa sasa ambayo itaingia kucheza na yanga na ikataka kupishana nao, mbinu zao ni kulipaki basi tu ili kupunguza idadi ya magoli vinginevyo yanaweza kuwakuta makubwa, na yanga wanatakiwa kutafuta mbinu mbadala za kuwafungua wapinzani wanaocheza wengi mbele ya goli lao, wasitegemee kukutana Tena na timu ya itayotaka wapishane maana ndio mbinu ambayo washaona inalipa!
 
Ishu ni uzee wale hawana tena new strategy
 
Kila la kheri chama langu Young africans sc πŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ’›


#DaimaMbele πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’›
#NyumaMwiko πŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…