Tunza hii, saa 2 siyo mbali..!!Wale wababu wanachoka mapema sana now days π€£π€£π€£
Unaota ndoto za alinachaSuluhu ya kwanza kwa Uto
Mshangao!Unaota ndoto za alinacha
Njooni nyie mcheze kwa niaba ya Pamba mkitoa hata sare mchukue ubingwaZipo tuhuma tayari wamesha fix mechi washinde goli nyingi
Ishu ni uzee wale hawana tena new strategyAkuna timu kwa sasa ambayo itaingia kucheza na yanga na ikataka kupishana nao, mbinu zao ni kulipaki basi tu ili kupunguza idadi ya magoli vinginevyo yanaweza kuwakuta makubwa, na yanga wanatakiwa kutafuta mbinu mbadala za kuwafungua wapinzani wanaocheza wengi mbele ya goli lao, wasitegemee kukutana Tena na timu ya itayotaka wapishane maana ndio mbinu ambayo washaona inalipa!
Umezidi kujifariji bana hadi umepitilizaSuluhu ya kwanza kwa Uto
π€£π€£π€£Wale wababu wanachoka mapema sana now days π€£π€£π€£
Utashangaa wewe. na ninajua mtakuja na lugha nyingine..!!Mshangao!
Tukutane hapa saa 2usiku
Basi kama ni wazee peleka timu yako ukawafunge hao wazee, Wazee wamekukalisha mechi 3 mfululizo na inafata ya 4!Ishu ni uzee wale hawana tena new strategy
Nyie 5imba Thiiimbaaaa mlipigwa kono la nyani plus nje ndani ilikuwaje?Zipo tuhuma tayari wamesha fix mechi washinde goli nyingi
Punguza mapigo. Utaua watu ππNjooni nyie mcheze kwa niaba ya Pamba mkitoa hata sare mchukue ubingwa