ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Sasa kama kwenu wenye akili ni wawili tukufanyaje?Mimi ni Yanga na kila mwanayanga anaelewa kua huku kwetu wenye akili ni 2 tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama kwenu wenye akili ni wawili tukufanyaje?Mimi ni Yanga na kila mwanayanga anaelewa kua huku kwetu wenye akili ni 2 tu
Si tumecheza na nyinyi juzi tu hapo mlishindwa niniTutawapiga kwa nguvu sana October 19
Viongozi wa pamba wamesema wanajiweka pembeni kwenye mechi dhidi ya Yanga,sasa bishana na hao viongozi.Mashabiki wa Yanga huwa ni Toto Mashabiki wa Simba ndio huwa Pamba..., Nadhani Yanga wanaukumbuka mzimu wa Fumo Felician alikuwa anawauwa sana Yanga alivyokuwa Pamba hadi wakamnunua kupunguza Kipigo
Unaweza kunipa maneno yao ad verbatim ?Viongozi wa pamba wamesema wanajiweka pembeni kwenye mechi dhidi ya Yanga,sasa bishana na hao viongozi.
Sisi mashabiki wa yanga tunaelewa na tunajua wenye akili ni 2 tu hivyo leo tunaenda kupewa furaha Na team mbili za GSM kupitia upangaji wa matokeoSasa kama kwenu wenye akili ni wawili tukufanyaje?
Kweli kabisa tunataka magoli yale tunapigaga malaya....watu tumeweka hela zetu bwana.Yanga tafadhalini jamani hatutaki goli la ndoani, timu ilishavuka kitambo level ya goli moja.....
Kila laheri chama la ushindi 💛💚🔥
Yanga ni utopolo Sana. Picha ya timu nyingine mnaweka picha ya nembo ya Simba.
Hawa wastaafu hawatoboi leo 😂🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans SC🆚Pamba Jiji FC
📆 03.10.2024
🏟 Azam Complex
🕖 6:30PM(EAT)
View attachment 3113734
Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji FCView attachment 3114306
Sawa ngoja nitunze risitiHawa wastaafu hawatoboi leo 😂
Mara ya mwisho kuwafunga hao ilikuwa lini ndugu kolo kutoka kusini mwa jangwa la saharaYanga ni utopolo Sana. Picha ya timu nyingine mnaweka picha ya nembo ya Simba.
Utopwinyo shida Sana.
Leo wastaafu mnapigwa za uso... nipo pale🤣Yanga tafadhalini jamani hatutaki goli la ndoani, timu ilishavuka kitambo level ya goli moja.....
Kila laheri chama la ushindi 💛💚🔥
Lolote liwakute🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans SC🆚Pamba Jiji FC
📆 03.10.2024
🏟 Azam Complex
🕖 6:30PM(EAT)
View attachment 3113734
Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji FCView attachment 3114306
Risiti hii 😁😂😁Lolote liwakute
All the Best chama langu!!🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans SC🆚Pamba Jiji FC
📆 03.10.2024
🏟 Azam Complex
🕖 6:30PM(EAT)
View attachment 3113734
Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji FCView attachment 3114306