FT: Yanga SC 4-0 Pamba jiji SC | NBC Premier League | Azam Complex | Octoba 03, 2024

FT: Yanga SC 4-0 Pamba jiji SC | NBC Premier League | Azam Complex | Octoba 03, 2024

Jezi ya pamba watakayo vaa leo zingatia hapo kwenye mdhamin mimi ni Yanga ila hili swala sipendezwi nalo
Nb
Game itakua ya upande mmoja na makosa ya kibinadamu kwa baadhi ya wachezaji yatakua mengi
images (50).jpeg
 
Akuna timu kwa sasa ambayo itaingia kucheza na yanga na ikataka kupishana nao, mbinu zao ni kulipaki basi tu ili kupunguza idadi ya magoli vinginevyo yanaweza kuwakuta makubwa, na yanga wanatakiwa kutafuta mbinu mbadala za kuwafungua wapinzani wanaocheza wengi mbele ya goli lao, wasitegemee kukutana Tena na timu ya itayotaka wapishane maana ndio mbinu ambayo washaona inalipa!
Umeelezea vizuri sana yaani ndio hali halisi iliyopo juu ya Yanga kwa timu zote za ligi kuu kwa sasa.
 
Ni viongozi wa pamba wamesema wanajiweka pembeni sababu wao ni mashabiki wa yanga....hili halihitaji 'D ' mbili.
Mashabiki wa Yanga huwa ni Toto Mashabiki wa Simba ndio huwa Pamba..., Nadhani Yanga wanaukumbuka mzimu wa Fumo Felician alikuwa anawauwa sana Yanga alivyokuwa Pamba hadi wakamnunua kupunguza Kipigo
 
Back
Top Bottom