Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama walivyo-fix november 5 mwaka jana.Zipo tuhuma tayari wamesha fix mechi washinde goli nyingi
Wanawasukumia mzigo Pamba wakati wao kila wakitia maguu wanakula za usoPunguza mapigo. Utaua watu 😁😁
Kama nyie wa Saba Africa mnakula 5G ulitegemea Pamba afanye nini?Jezi ya pamba watakayo vaa leo zingatia hapo kwenye mdhamin mimi ni Yanga ila hili swala sipendezwi nalo
Nb
Game itakua ya upande mmoja na makosa ya kibinadamu kwa baadhi ya wachezaji yatakua mengi
View attachment 3114141
Nyie mara ya mwisho kupata draw mbele ya Yanga ilikua lini ili Pamba waigeSuluhu ya kwanza kwa Uto
Mimi ni yanga simba tuliifunga goal tato kwa kuwanunua baadhi ya wachezajiKama nyie wa Saba Africa mnakula 5G ulitegemea Pamba afanye nini?
Hofu imeanza kutanda. Kwani Yanga haina uwezo wa kushinda goli nyingi mkuu?Zipo tuhuma tayari wamesha fix mechi washinde goli nyingi
Ushindi uje magoli yaje kwa jinsi mechi itakavyokuwa. Yanga bado inacheza kibingwa sana haya mengine ni kelele tuYanga tafadhalini jamani hatutaki goli la ndoani, timu ilishavuka kitambo level ya goli moja.....
Kila laheri chama la ushindi 💛💚🔥
Kwahio wachezaji wenu wanajiuza kama malaya wa bar?Mimi ni yanga simba tuliifunga goal tato kwa kuwanunua baadhi ya wachezaji
Umeelezea vizuri sana yaani ndio hali halisi iliyopo juu ya Yanga kwa timu zote za ligi kuu kwa sasa.Akuna timu kwa sasa ambayo itaingia kucheza na yanga na ikataka kupishana nao, mbinu zao ni kulipaki basi tu ili kupunguza idadi ya magoli vinginevyo yanaweza kuwakuta makubwa, na yanga wanatakiwa kutafuta mbinu mbadala za kuwafungua wapinzani wanaocheza wengi mbele ya goli lao, wasitegemee kukutana Tena na timu ya itayotaka wapishane maana ndio mbinu ambayo washaona inalipa!
Acha uongo dingiZipo tuhuma tayari wamesha fix mechi washinde goli nyingi
Mashabiki wa Yanga huwa ni Toto Mashabiki wa Simba ndio huwa Pamba..., Nadhani Yanga wanaukumbuka mzimu wa Fumo Felician alikuwa anawauwa sana Yanga alivyokuwa Pamba hadi wakamnunua kupunguza KipigoNi viongozi wa pamba wamesema wanajiweka pembeni sababu wao ni mashabiki wa yanga....hili halihitaji 'D ' mbili.
Mimi ni Yanga na kila mwanayanga anaelewa kua huku kwetu wenye akili ni 2 tuKwahio wachezaji wenu wanajiuza kama malaya wa bar?
Tutawapiga kwa nguvu sana October 19Nyie mara ya mwisho kupata draw mbele ya Yanga ilikua lini ili Pamba waige