FT: Yanga SC 4-1 Mtibwa Sugar | NBC Premier League | Azam Complex | 16.12.2023

Hilo la faulu jmn ndio amekuwa mtoboko mbna alikuwa faulu ile ndoo mamana hakiwa kwemye uhodari wake
Unajua jirani nimerudia kusoma hii comment yako nimecheka sana...ulikua kwny boda wakati unatype au?. 😆 😆
 
Tuuze metacha kisha yule kipa wa prison yona tumchukue
 
Sijaangalia mpira , nimeona tu highlight za magoli naona kama refa mechi imemzidi

Goli la pili kwa yanga nimeona kama faulo ya wazi
Goli la mtibwa faulo ya wazi au nimeona vibaya
 
Sijaangalia mpira , nimeona tu highlight za magoli naona kama refa mechi imemzidi

Goli la pili kwa yanga nimeona kama faulo ya wazi
Goli la mtibwa faulo ya wazi au nimeona vibaya
Tufanye basi 3 kwa 0 au vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…