Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #361
Tutaona mengi sanaTunawasubiri. Wydad bila Yahya Jabrani ni sawa na kuvaa sidiria bila kuwa na titi. Njoo uone mwarabu akioga mvua ya magoli style ya kihoroya horoya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaona mengi sanaTunawasubiri. Wydad bila Yahya Jabrani ni sawa na kuvaa sidiria bila kuwa na titi. Njoo uone mwarabu akioga mvua ya magoli style ya kihoroya horoya
Naaaam. Makoti muhimu maana tunaelekea kileleni mwa kundi. Kuna baridi kali kule juuTutaona mengi sanaView attachment 2844353
Watani wana maneno sana hawa😀Na wewe ulivokula 5 ulikuwa wa mochwari
Hawana hoja 🤣Watani wana maneno sana hawa😀
Ikawe fresh sana mtaniNaaaam. Makoti muhimu maana tunaelekea kileleni mwa kundi. Kuna baridi kali kule juu
Huna hoja..limbukeniImekuja hiiView attachment 2844331
Tena bahasha alipewa MoUshindi wa bahasha huo umeshachacha.
Sio kwa wanga ule..kuanzia kocha na wachezaji wananyunyuzia maji hahahahahNa wewe ulivokula 5 ulikuwa wa mochwari
Goli la Skudu ni la kujifungaGoli la Musonda au skudu ndiyo the best of all kwa mechi ya Leo ?
Kaa hapo utulieHuna hoja..limbukeni
Unajua jirani nimerudia kusoma hii comment yako nimecheka sana...ulikua kwny boda wakati unatype au?. 😆 😆Hilo la faulu jmn ndio amekuwa mtoboko mbna alikuwa faulu ile ndoo mamana hakiwa kwemye uhodari wake
Limbukeni wa mabao... ..Kaa hapo utulieView attachment 2844383
Tufanye basi 3 kwa 0 au vipiSijaangalia mpira , nimeona tu highlight za magoli naona kama refa mechi imemzidi
Goli la pili kwa yanga nimeona kama faulo ya wazi
Goli la mtibwa faulo ya wazi au nimeona vibaya
Sasa tunafanyaje maamuzi yashafanyika mbona hujui kuweka hoja au basi fanya weweTufanye basi 3 kwa 0 au vipi