Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda Wakapigwa za kutosha.Hawa Mtibwa hawa
Kibendera anasema offside lakini refa wa kati anasema fauloYani kibendera anatoa maamuzi yake na refa wa kati nae anafanya maamuzi yake.....upuuzi tu
Hana jipya tenaInaonekana uongozi wa Yanga uliongea na Azizi Ki kuhusu aina yake ya uvaaji wa bukta.
Kama sikosei ni mechi ya tatu hii namuona anavaa proper kabisa
NgapiHuenda Wakapigwa za kutosha.
Lakini alimfurahisha.Uchochoro wa Kibu D
Mechi nyingi tu siku hizi anavaa properInaonekana uongozi wa Yanga uliongea na Azizi Ki kuhusu aina yake ya uvaaji wa bukta.
Kama sikosei ni mechi ya tatu hii namuona anavaa proper kabisa
Kazi kweli kweli...Kibendera anasema offside lakini refa wa kati anasema faulo
Nipo Kamanda. Najitahidi kuangalia na kuchangia mawili matatu humu jukwaani.
Sijui kwa nini nimecheka Mtani. 😅Hana jipya tena
Skudu mlimshangilia sana mwanzoni!!Nipo Kamanda. Najitahidi kuangalia na kuchangia mawili matatu humu jukwaani.
Lol.
Djigui The Djigui Diara [emoji119] [emoji119]
Huyu mtu akikaa golini huwa naangalia mpira huku nachat na babe, yule mwingine hata kunywa maji siwezi hadi dakika 90 ziishe.