Hivi kwanini mbumbumbu wote mnafanana akili?Mi nadhhani kuna muda wachezaji wa singida big stars(ihefu)huwa wanashangaa sana mpira wa bongo..
Imagine mtu anakuja bongo kucheza soka ila mechi na yanga,(marouf tchakei,onyango,duke abuya,chukwu morice,)na wengine wanaomilikiwa na mwigulu wanaambiwa wacheze chini ya kiwango,ili yanga ishinde afu anayesema ni mmiliki wa timu na hela anawapa.
Ila Tz kila kitu uhuni uhuni tuu,anyways kesho ihefu akipata hata on target 2 mnidai milioo
Simba walipofungwa, walipewa pesa ili wacheze chini ya kiwango au walizidiwa tu?Mi nadhhani kuna muda wachezaji wa singida big stars(ihefu)huwa wanashangaa sana mpira wa bongo..
Imagine mtu anakuja bongo kucheza soka ila mechi na yanga,(marouf tchakei,onyango,duke abuya,chukwu morice,)na wengine wanaomilikiwa na mwigulu wanaambiwa wacheze chini ya kiwango,ili yanga ishinde afu anayesema ni mmiliki wa timu na hela anawapa.
Ila Tz kila kitu uhuni uhuni tuu,anyways kesho ihefu akipata hata on target 2 mnidai milioo
Hapana wenye akili ni wawili tu according to Manara tuliobaki tunafanana.Hivi kwanini mbumbumbu wote mnafanana akili?
Leo ni sinema zetu tu[emoji617]ππππ ππ[emoji617]
[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]οΈ Young Africans SC[emoji739]Ihefu FC
[emoji414] 11.03.2024
[emoji909] Azam Complex
[emoji797] 12:00 Jioni
View attachment 2930732
mechi ya kwanza walishinda haya maneno hayakuwepoMi nadhhani kuna muda wachezaji wa singida big stars(ihefu)huwa wanashangaa sana mpira wa bongo..
Imagine mtu anakuja bongo kucheza soka ila mechi na yanga,(marouf tchakei,onyango,duke abuya,chukwu morice,)na wengine wanaomilikiwa na mwigulu wanaambiwa wacheze chini ya kiwango,ili yanga ishinde afu anayesema ni mmiliki wa timu na hela anawapa.
Ila Tz kila kitu uhuni uhuni tuu,anyways kesho ihefu akipata hata on target 2 mnidai milioo
Hakuna kitu wanayanga tunapenda kama milio ya MBUMBUMBU [emoji16]Mi nadhhani kuna muda wachezaji wa singida big stars(ihefu)huwa wanashangaa sana mpira wa bongo..
Imagine mtu anakuja bongo kucheza soka ila mechi na yanga,(marouf tchakei,onyango,duke abuya,chukwu morice,)na wengine wanaomilikiwa na mwigulu wanaambiwa wacheze chini ya kiwango,ili yanga ishinde afu anayesema ni mmiliki wa timu na hela anawapa.
Ila Tz kila kitu uhuni uhuni tuu,anyways kesho ihefu akipata hata on target 2 mnidai milioo
Belouizdad SC pia alihongwa na Yanga SC akala 4-0.Hivi kwanini mbumbumbu wote mnafanana akili?
Kama unaumia lete timu yakoHatimaye jirani kamnunua mbwa aliyekuwa anamng'ata ngoja tuone kama atamtuliza.
Mtu mwenye balaa zake...ππ€£π€£ View attachment 2930754
All beautiful ladies are red and whiteVincenzo Jr Hatuna haja na hii mechi maana imeshauzwa....
Mzee wa maokoto kumbe ndo kainunua..
ππVincenzo Jr Hatuna haja na hii mechi maana imeshauzwa....
Mzee wa maokoto kumbe ndo kainunua..