Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Mkuu Paul dybala tunaomba Ubashiri wako hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyanda la bilioni 3 hilo, rekodi ya thamani ambayo hamtakuja muifikie maisha yenu yote
Umbumbumbu ni kama kundi la chakula kwenye biology haviwezi kutofautiana ubora/lishe.Hivi kwanini mbumbumbu wote mnafanana akili?
Hata Simba walinunuliwa elf 50 tu.Hakuna mechi hapo Ihefu imenunuliwa kimkakati,Simba jikiteni kwenye chambions league Ligi hii ya ndani hakuna haki ni janja janja za kiswahili
Ihefuuu[emoji617]𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐔𝐏[emoji617]
[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]️ Young Africans SC[emoji739]Ihefu FC
[emoji414] 11.03.2024
[emoji909] Azam Complex
[emoji797] 12:00 Jioni
View attachment 2931157
Wajera jera jera jera jera jera jera jera aaaaaaaaaaaasaaaIhefuuu
Ihefuuu
Ihefuuu
Ihefuuu
Ihefuuu
All the best IHEFUAl Qisas Haq!
Leo lazima wachakae, lazima watuoneshe walitufungaje.
Utahira ni mzigo Sana... Kwani Gsm ndio tajiri pekee aliyedhamini timu zaidi ya moja toka ligi ianze?. Hebu simanieni moja... Kombe lenu ni Fei kuwa mchezaji mfungaji Bora au Gsm kudhamini timu 10?.Hii mechi inaweza kuisha kwa sare ili kujaribu kufunika soo la GSM kudhamini timu 10 za ligi
Ndio maana mnaitwa mbumbu... Kuna gorikipa wa B hapo?😅😅hii misukule ya Mooo ina utahira Sana.Nyanda la bilioni 3 hilo, rekodi ya thamani ambayo hamtakuja muifikie maisha yenu yote. Mpaka Metacha Mnata afikie thamani ya bilioni si kiama kitakuwa kimefika?
Tatizo la simba ,badala ya kuipigania timu yenu,mjue mnakosea wapi NYIE KUTWA KUISEMA NA KUIJADILI YANGA...NA KUJIFANANISHA NAYO...WAKATI IMEWAACHA KWA MBALI MNOO KWA SASA...POLENI SANA,NENDA KAKOJOE UKALALE ..Mi nadhhani kuna muda wachezaji wa singida big stars(ihefu)huwa wanashangaa sana mpira wa bongo..
Imagine mtu anakuja bongo kucheza soka ila mechi na yanga,(marouf tchakei,onyango,duke abuya,chukwu morice,)na wengine wanaomilikiwa na mwigulu wanaambiwa wacheze chini ya kiwango,ili yanga ishinde afu anayesema ni mmiliki wa timu na hela anawapa.
Ila Tz kila kitu uhuni uhuni tuu,anyways kesho ihefu akipata hata on target 2 mnidai milioo