OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Bora nimfumue nywele wifi yako kuliko kuangalia haya marudioVincenzo Jr Hatuna haja na hii mechi maana imeshauzwa....
Mzee wa maokoto kumbe ndo kainunua..
Leo tutamtandika huyu msumbufu mpaka atajuta kwanini anatusumbuwa!π°ππππ πππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ Young Africans SCπIhefu FC
π 11.03.2024
π Azam Complex
π 12:00 Jioni
View attachment 2931157
πππͺKikosi kinachoanza dhidi ya Ihefu SC
View attachment 2931596
Huwezi kuangalia maana utapa maumivu makali sana,na maumivu yanaongezeka hasa ukiangalia timu lako linavyosuasua,trip shamba,trip gerejiBora nimfumue nywele wifi yako kuliko kuangalia haya marudio
Kila la heri Yanga Africansπ°ππππ πππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ Young Africans SCπIhefu FC
π 11.03.2024
π Azam Complex
π 12:00 Jioni
View attachment 2931157
Kikosi kinachoanza dhidi ya Ihefu SC View attachment 2931594
Bado hamjasema, na huko Klabu bingwa Yanga watamnunua mnayekutana naye.Hakuna mechi hapo Ihefu imenunuliwa kimkakati,Simba jikiteni kwenye chambions league Ligi hii ya ndani hakuna haki ni janja janja za kiswahili
Ndo akili zako wewe CPA OKW wa mchongo.View attachment 2931550
Hapa ni mechi ikichezwa, mnachosubiri ninyi ni marudio. Itakuwa ni mara ya kwanza toka nizaliwe kuona matokeo kubadilika wakati wa marudio
Na nyie tuliwatandika 5.Bora nimfumue nywele wifi yako kuliko kuangalia haya marudio
HaweziWa Nyampulukano-Sengerema- Mwanza Ihefu piga hao Utopolo
Vijana wanapigwa 5 kina azizi na pacome wapo. Umesikia ww raia mdogoNasikia kuna kiporo kitapashwa Leo π€£