joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Cha muhimu wamekula kiganja kama nyie.Najua unatamani kusema wabovu, ila ukikumbuka Nov tano unakuwa mpole.Kwa hiyo Deportivo de Utopolo pamoja na promo yote waliyofanya wameshindwa kujaza hadi uwanja wa watu 3000 aiseee