Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani yeye akiguswa kidogo, anaanguka.Kuna mtu kaanguka?
Magoti yamekosa uloto next meal awekewe bamia kwa wingiYaani yeye akiguswa kidogo, anaanguka.
Mwepesi kama upepo
Ni kweli ni mechi iliyoingiza mashabiki wengi ila picha zinaonyesha vipo viti vingi vilivyo wazi. Nitakuuliza swali lingine, inakuwaje shughuli ya TFF au sijui ZFF halafu timu moja inaiteka kama shughuli binafsi ya klabu kutambulisha wachezaji? Hii nayo imekaaje? Au na hili utaniambia nina wivu?Sawa, mi naona uwanja umejaa na ndio mechi iliyoingiza mashabiki wengi zaidi tokea hii michuano ianze
Makolo ni majitu ya ajabu sana..Wanaoteseka ni Makolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una porojo sana.Ni kweli ni mechi iliyoingiza mashabiki wengi ila picha zinaonyesha vipo viti vingi vilivyo wazi. Nitakuuliza swali lingine, inakuwaje shughuli ya TFF au sijui ZFF halafu timu moja inaiteka kama shughuli binafsi ya klabu kutambulisha wachezaji? Hii nayo imekaaje?
Nataka kumaliza mwaka kwa kuuliza maswali magumu, kesho naweza kuamka sitaki tena kuingia JF. Ni mazungumzo tu....
Umeamua kuchagua maisha ya kutesekaNi kweli ni mechi iliyoingiza mashabiki wengi ila picha zinaonyesha vipo viti vingi vilivyo wazi. Nitakuuliza swali lingine, inakuwaje shughuli ya TFF au sijui ZFF halafu timu moja inaiteka kama shughuli binafsi ya klabu kutambulisha wachezaji? Hii nayo imekaaje? Au na hili utaniambia nina wivu?
Nataka kumaliza mwaka kwa kuuliza maswali magumu, kesho naweza kuamka sitaki tena kuingia JF. Ni mazungumzo tu....
😂😁😁Hawa Jamhuri nilijua ni bonge la timu kumbe nao kama simba tu, mnapigwaje 5 nyumbani
Timu mbovu mbovu adhabu yake ni kono la nyaniHawa Jamhuri nilijua ni bonge la timu kumbe nao kama simba tu, mnapigwaje 5 nyumbani
Timu pekee ya mpira wa miguu kutoka Tanganyika inayoruhusiwa kusema Jamhuri ya Zanzibar ni timu mbovu ni Ihefu fc pekeeNi kweli ni mechi iliyoingiza mashabiki wengi ila picha zinaonyesha vipo viti vingi vilivyo wazi. Nitakuuliza swali lingine, inakuwaje shughuli ya TFF au sijui ZFF halafu timu moja inaiteka kama shughuli binafsi ya klabu kutambulisha wachezaji? Hii nayo imekaaje? Au na hili utaniambia nina wivu?
Nataka kumaliza mwaka kwa kuuliza maswali magumu, kesho naweza kuamka sitaki tena kuingia JF. Ni mazungumzo tu....
Naunga mkono hojaTimu mbovu mbovu adhabu yake ni kono la nyani
Jamhuri na Mandunduka hakuna wa kumcheka mwenzie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa Jamhuri nilijua ni bonge la timu kumbe nao kama simba tu, mnapigwaje 5 nyumbani
Ukitoa Ihefu wengine wote pisi kaliTimu pekee ya mpira wa miguu kutoka Tanganyika inayoruhusiwa kusema Jamhuri ya Zanzibar ni timu mbovu ni Ihefu fc pekee
Nyingine zote zikae kimya