Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa mechi gan yakufanya uwanja ujaeKwa hiyo Deportivo de Utopolo wameshindwa kujaza hadi uwanja wa watu 3000
Acha basi.Kwa hiyo Deportivo de Utopolo pamoja na promo yote waliyofanya wameshindwa kujaza hadi uwanja wa watu 3000 aiseee
Hamjacheza Zenji mwaka mzima mnashindwaje kujaza huo uwanja bwana. Kuna mahali mnafelikwa mechi gan yakufanya uwanja ujae
If he's not offering a good performance.... I'm afraid he's gonna be sacked in few days to comeHe is ignoring
Angalia watu wanavyotandaza kandanda huko.Tunguri hazijasahaaulika dar?
lakn kweny magoli hatufeli ni mwenndo wa kono la nyaniHamjacheza Zenji mwaka mzima mnashindwaje kujaza huo uwanja bwana. Kuna mahali mnafeli
Wazanzibari wanaadhirika huko UngujaNaam, umeniita? Tatizo nini?
Haangalii boli huyo .kwa mechi gan yakufanya uwanja ujae
Unazungumzia nini?Hamjacheza Zenji mwaka mzima mnashindwaje kujaza huo uwanja bwana. Kuna mahali mnafeli
Kwa hiyo Deportivo de Utopolo pamoja na promo yote waliyofanya wameshindwa kujaza hadi uwanja wa watu 3000 aiseee
Kundi lilipangwa kimkakati, hakuna cha kushangaza hapo, wote hao mtajipigia mnavyotakalakn kweny magoli hatufeli ni mwenndo wa kono la nyani
Kwa mechi gani?Huyu ni ngushi au mbape?
Mbona kama injinia anataka kutuchanganya?
Leo tuna nkane right wing back..
Kuna team inatamani kusema jamhuri ni wabovu ila na wao walikula 5
Welcome okrah