FT: Yanga SC 5-0 Jamhuri SC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 31.12.2023

Timu yako na Jamhuri wote Jamhuri moja
 
Casemilo alitambulishwa vipi man u?
 
Utopolo na kuokoteza na kuwapamba wachezaji walioachwa kwa viwango vibovu.. Mkude, Sureboy, Muda, ... na sasa tena Okrah
 
Utopolo na kuokoteza na kuwapamba wachezaji walioachwa kwa viwango vibovu.. Mkude, Sureboy, Muda, ... na sasa tena Okrah
Ni sahihi imeokoteza, ila hao uliowataja wakipangwa uwanjani wanafanya kazi ipasavyo. Ishu sio kuokota, bali unaokota kipi? Kuna watu wanadondosha ela, na vitu vyenye dhamani na wengine huviokota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…