SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Wewe jua under 20 wenu hajaitikia wito na hii siyo mara ya kwanzaChochote ulichonacho kwa wakati huu kolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jua under 20 wenu hajaitikia wito na hii siyo mara ya kwanzaChochote ulichonacho kwa wakati huu kolo
Trust me broWewe jua under 20 wenu hajaitikia wito na hii siyo mara ya kwanza
Tupeni raha wananzengo na wakulungwaYanga tunajiandaa kuwakabili Jamhuri SC muda ni saa 2:15 usiku.
mungu ibariki Yanga SC
Kila la kheri Yanga SC
View attachment 2857895
Azam sports 1 HDJamani mechi channel gani
YeahTrust me bro
Game On!!Yanga tunajiandaa kuwakabili Jamhuri SC muda ni saa 2:15 usiku.
mungu ibariki Yanga SC
Kila la kheri Yanga SC
View attachment 2857895
Vipo tayari!!Usisahau kuweka na picha za vikosi vilivyowasili hapo Zenji
Huwenda nikamuona tena mwanetu Kambole maana ndio msimu wake huu, tukikosa nafasi ya kumuona hapa itabidi tusubiri tena Mapinduzi Cup ya 2024.
So weka concentration kwa wachezaji waliovaa cap. Maana mwanetu anapenda kuvaa cap na muda mwingi anaangalia chini pale anapoona journalists wamemkaribia.
All the Best Chama Langu.Kikosi cha yangaView attachment 2858781