Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #61
Kibwanaaaaa kambaaa la tatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmekosaChumaaaaaaa! [emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji1] Clement Mzinze
Alizuiwa na nani? Lini? Ulikuwepo wakati anazuiwa? Tupe clip ya maelekezo yakioneshwa kuwa kazuiwa.Juzi nimeuliza swali sijajibiwa, kwanini Yanga imekuwa inamzuia Mzize asijiunge timu ya taifa na sheria zinasemaje pale mchezaji anapokataa au kukatazwa na timu yake asijiunge na timu ya taifa?
Hawa ingekuwa Simba tungeshawapiga 8.Tunapowaambia hawa wazanzibari Mapinduzi Cup sio mashindano ya kupeleka Simba na Yanga wajaribu kuelewa, Ona sasa! Hicho ni kikosi B lakini hali ni hivyo! Angekuwepo Max Aziz na Pacome ingekuwaje?
Nikishakujibu maswali hayo utaridhika au utakuja na maswali mengine?Alizuiwa na nani? Lini? Ulikuwepo wakati anazuiwa? Tupe clip ya maelekezo yakioneshwa kuwa kazuiwa.
Weweeeeeehhhhh!!!!Leo iwe 10G
Weweeeeeehhhhh!!!!
Mganga kasema tunarudisha kipindi cha pili
Tunaijua mpaka nyumba anayoishi.Mganga kawaibia😂😂😂😂
Tunaijua mpaka nyumba anayoishi.
Hatushughulishi.