Niliinunua Day 1 tu.Nijisogeze Michenzani Mall lilipo duka la GSM ninue hii jersey ya Yanga.
Sema tena 😀Yanga wanacheza kama Yatima. 😂😂😂
Kiasi gani?Niliinunua Day 1 tu.
Uzi mkali
Unaangalia Ball?Sema tena 😀
Vipi Bado tu unaongea😀Unaangalia Ball?
kufunga hakubadilishi msimamo wangu.
Unamwona Mzize?
Unaona kuna aliyeshangilia goli?
Au hawajapewa pesa ya Sikukuu?