FT: Yanga SC 5-0 Polisi Tz | ASFC | Azam Complex | 20.02.2024

FT: Yanga SC 5-0 Polisi Tz | ASFC | Azam Complex | 20.02.2024

Kuna team zinashusha hadhi ya ligi kui, bora ziondolewe tu.

Hazitoi ushindani.

Kwenye ligi kuu kuna team 4 tu zinazotoa ushindani
Yanga
Simba
Azsm
Singida kwa mbaali.

Tukiwa na team nyingi dhaifu inapunguza ladha ya ligi yetu
 
Hata waanzishe ligi yao 🤣🤣🤣🤣🤣
◉ Yanga 5 - 0 KMC
◉ Yanga 5 - 0 JKT Tanzania
◉ Yanga 5 - 1 ASAS 🇩🇯
◉ Yanga 5 - 1 Simba SC
◉ Yanga 5 - 0 Jamhuri
◉ Yanga 5 - 1 Hausing Fc
◉ Yanga 5 - 0 Polisi Tanzania
Hao mliowapiga moja kwa ziro majini hayakuhusika....yalihusika pale yalipoona timu ni threat...
 
Majini yetu sasa yananuka damu! Yanajisikia kuua na kunywa damu tu!! Mtu ajichanganye sasa aone[emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom