Basi na nyie ngoja tuwaombee maana mlihenyekaga sana..Marehemu kila baada ya muda hua anakumbukwa kwa kuombewa. So, relax bibie na uzoee!
HahahaahaaMimi na wewe huwa tunatenganishwa na rangi tu. πππβ€οΈπ€
Basi na nyie ngoja tuwaombee maana mlihenyekaga sana..
Ya zamani na yajayo...πππππππMnatuombea Kwa Mambo Ya Zamani Au Yajayo?[emoji23][emoji23]
Hao mliowapiga moja kwa ziro majini hayakuhusika....yalihusika pale yalipoona timu ni threat...Hata waanzishe ligi yao π€£π€£π€£π€£π€£
β Yanga 5 - 0 KMC
β Yanga 5 - 0 JKT Tanzania
β Yanga 5 - 1 ASAS π©π―
β Yanga 5 - 1 Simba SC
β Yanga 5 - 0 Jamhuri
β Yanga 5 - 1 Hausing Fc
β Yanga 5 - 0 Polisi Tanzania
Round hii ya pili tunahusisha majini yote,mapya na ya zamani.Hao mliowapiga moja kwa ziro majini hayakuhusika....yalihusika pale yalipoona timu ni threat...
Ya zamani na yajayo...[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Hao mliowapiga moja kwa ziro majini hayakuhusika....yalihusika pale yalipoona timu ni threat...
Bwana weee...bado mnaumia zile za mwaka elfu 2012..5 Nyinyi Sana Aisee.
Bwana weee...bado mnaumia zile za mwaka elfu 2012..
Yanga hatari nanusuu ππππ