FT: Yanga vs Mwadui (3-2) | VPL | Benjamin Mkapa

FT: Yanga vs Mwadui (3-2) | VPL | Benjamin Mkapa

.
Screenshot_20210620-203838_Instagram.jpg
 
Mzee Mpili atamvisha mtu nguo nyeupe leo.
yanga hawataki kukubali wana tatizo,msimbazi tulipitia kipindi kigumu cha kukosa hela na usajili usioeleweka kwa miaka 5 baada ya hapo simba waligundua kosa lao ...

sasa hata kama safari hii wana hela za gsm subiri papara zao wataleta wachezaji wapya 12 au 15 halafu kocha atafukuzwa halafu wataanza kusema tuwape muda wa muunganiko mwishowe wataamia kwa mnyonge wao wallace karia kumtupia lawama
 
Leo uto sijui watamzomea nani,, kati ya fiston au shikalo, ila ngoja tuone, ila huyu itakuwa karia na tff yake wametia mkono
 
Match kama ya leo itusaidie kupandisha wafungaji wetu wafikishe bao nyingi. Huyu kipa wa Mwadui tunamfahamu vizuri sana.

Naomba tutumie nafasi hii kupata ushindi wa kishindo.

===========

21' Goaaal, Yanga wanauweka ubao sawa, Yanga 1-1 Mwadui

28' Yanga wanapata mpira wa adhabu ndogo nje kidogo ya lango la mwadui hata hivyo mpira hauna manufaa

34' Saidoo anaachia mpira matata lakini unagonga mwamba, Yanga 1-1 Mwadui

42' Fei Toto anawekwa chini ndani ya Box la Mwadui, Penalt

43' Kipa wa Mwadui, Mussa Mbise anapangua mkwaju wa Penalt wa Fisto AbdulRazak

45+2' Mpira unaenda mapumziko

59' Kisinda anaingia kuchukua nafasi ya Mwauya

64' Goaaaal, Aneth Revocatus anaachia mkwaju mkali kutoka nje ya 18 na kumuacha Farouk Shikalo akigaagaa

65' Revocaus anapewa kadi ya njano kwa kuvua jezi wakati anashangilia goli

67' Yacuba anaingia kuchukua nafasi ya Fisto AbdulRazak kwa upande wa Yanga
Umekimbia uzi wako [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom