Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari,
Young Africans Mabingwa Wa Kihistoria Nchini Leo Wataingia Uwanjani Kumkaribisha KMC kwenye mchezo wao wa kumi na name hapo saa moja kamili usiku Uwanja Wa Benjamin Mkapa.
Hadi sasa Young Africans hawajapoteza mchezo wowote na inawafanya kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi. Tunategemea kuona mchezo mzuri wenye upinzani kutoka kwa KMC wajiitao watoto wa Kinondoni.
Ikumbukwe mchezo huu ulitanguliwa na Tamasha/Shehere za kumpongeza Raisi WA Jamhuri Ya Muungano Samia Suluhu kwa kutimiza mwaka mmoja madaraka huku hafla hizo Mgeni Maalumu alikuwa ni Raisi Wa Awamu Ya Nne Jakaya Mrisho Kikwete.
Mechi Itaanza Saa Moja Kamili Dakika Chache Kuanzia Sasa.
Young Africans Mabingwa Wa Kihistoria Nchini Leo Wataingia Uwanjani Kumkaribisha KMC kwenye mchezo wao wa kumi na name hapo saa moja kamili usiku Uwanja Wa Benjamin Mkapa.
Hadi sasa Young Africans hawajapoteza mchezo wowote na inawafanya kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi. Tunategemea kuona mchezo mzuri wenye upinzani kutoka kwa KMC wajiitao watoto wa Kinondoni.
Ikumbukwe mchezo huu ulitanguliwa na Tamasha/Shehere za kumpongeza Raisi WA Jamhuri Ya Muungano Samia Suluhu kwa kutimiza mwaka mmoja madaraka huku hafla hizo Mgeni Maalumu alikuwa ni Raisi Wa Awamu Ya Nne Jakaya Mrisho Kikwete.
Mechi Itaanza Saa Moja Kamili Dakika Chache Kuanzia Sasa.