Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Naiscreenshot hii replyNi suala la muda tu furaha yenu itageuka kuwa vilio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naiscreenshot hii replyNi suala la muda tu furaha yenu itageuka kuwa vilio
Maneno ya mkosajiKombe la mbuzi/losers haliwezi kuondoa aibu, hayo ni mazoezi tu wanafanya hapo taifa..
Mimi nakutana na bingwa wa Afrika wewe unakutana na loser mwenzio, tofauti kubwa kama mbingu na ardhi[emoji1322][emoji1322]Nyie kwenye kombe la robo fainali mbona mmeshindwa kuheshimisha
5 mmewapa TP mazembe tunajua10 Milioni za Mama tunazo
Thithi ni thimbs guvu moya. Kumbaf sana hawa jamaa. Angalieni mpira wa wanaume leo gademshit
Nashukuru Kwa kufukua kaburiHii comment naipa ulinzi mkali mimi kama Waziri wa ulinzi nina ahidi kuiponda kwa gharama zake , nakupa salamu huko ulipo FK21
View attachment 2523221
Mayele kainyima timu yake mil5Mayele pale angetoa pasi lingekuwa la tatu.
Jipe moyo ila milioni kumi tayariMazembe ya sasa sio ya zaman,ilishajifia.
But still hizo mbili zitarudshwa tu
Bado mapema mno!!! Tuzidi maombiKwanini mkuu?maana hadi dakika hii tumeshawanyamazisha nyau fc na mil 10 kibindoni
Nazani umeiona mikimbio.. kolo weweTusubirie mtanange tuone mikimbio mizuri na wakunja bukta.
Ndio maana wamekutana wote losers[emoji1787][emoji1787]Mazembe mbovu bora hata ihefu
Mazembe ilkuaga zaman sio sasaMazembe mbovu bora hata ihefu
Duwa la Kuku hili.Ni suala la muda tu furaha yenu itageuka kuwa vilio
Sitaki ukae huko 'monyewe' ufikirie 'hudhuni' za Jana, wakati huku kuna shangwe la bure kabisa linalopunguza stress na kuponya maumivu...!!Umeanza uchokozi wako sasa, tangu jana niliapa kutokuingia huku kwenye jukwaa la michezo, kwanini umenitag na unajua siwezi kukupuuza?😁
Eti binti yangu😊.