Wanaendekeza ujuaji,kujiamini na migogoro pumbavu zao wale.Simba mjifunze kwa wananchi
raja vpMazembe ilkuaga zaman sio sasa
Cry me a river!Mazembe ya sasa sio ya zaman,ilishajifia.
But still hizo mbili zitarudshwa tu
Sawa sawaKama mlizopigwa jana
Ndio maana wamekutana wote losers[emoji1787][emoji1787]
ThemaaaNasemajeeeee [emoji23][emoji23][emoji23]
Umeanza uchokozi wako sasa, tangu jana niliapa kutokuingia huku kwenye jukwaa la michezo, kwanini umenitag na unajua siwezi kukupuuza?😁
Eti binti yangu😊.
[emoji3][emoji3]Hapo wala hatujaendesha bus kinyume nyume
Umeanza uchokozi wako sasa, tangu jana niliapa kutokuingia huku kwenye jukwaa la michezo, kwanini umenitag na unajua siwezi kukupuuza?😁
Eti binti yangu😊.
Huyu itakuwa ndio michezo yake alikuwa anatafuta justification tu.Hii comment naipa ulinzi mkali mimi kama Waziri wa ulinzi nina ahidi kuiponda kwa gharama zake , nakupa salamu huko ulipo FK21
View attachment 2523221
mikimbio tayari bado mkunja buktaTusubirie mtanange tuone mikimbio mizuri na wakunja bukta.
Ata ikiwa mbovu inabidi kuifunga tuu.Mazembe ilkuaga zaman sio sasa
Sitaki ukae huko 'monyewe' ufikirie 'hudhuni' za Jana, wakati huku kuna shangwe la bure kabisa linalopunguza stress na kuponya maumivu...!!
Umeona jinsi gani Nakupenda lakini..??