ππππππJapo sijisikii vizuri nyinyi kushinda, ila mlivyoshinda hivi plus hii furaha uliyonayo najua leo usiku utakuwa mzuri sana kwangu na machungu yote yataisha.
Nyie shindeni tu, it's a win-win scenarioπ.
Nipo uwanjani ni dakika 3 za nyongeza kumalizika kwa kipindi cha kwanza.Dakika ya 46 na bado haijafahamika dakika ngapi zimeongezwa
Acha tuheshimu tu Uhuru wa maoni.Hadi sasa mpira wanaocheza yangu ni mbovu na hizo gori zimeingia kwa sababu mazembe ni wabovu..
Simba jana ilicheza mpira mkubwa sana ila raja walikuwa bora sana na ni mafundi.
Habar za kinyumenyume popo bawa hatuzitaki hapaView attachment 2523248
Mechi 3 za fainali za Simba hizi,kama anataka kufuzu anatakiwa kushinda zote
Huko supersport Yanga keshaongeza la tatu?supersport dakika zilishaongezwa ila huku ZBC mambo ni tofauti
Hii sio mara moja kila kitu yeye anaahidi kuitwa shoga huyu jamaa FK21 achunguzwe mara moja..Huyu itakuwa ndio michezo yake alikuwa anatafuta justification tu.
Kwakuwa Mazembe ni ndugu zetu watatugaiya vumbi la kasongo mundende tuwape vijana wamshughurikie wamalize kiu yake.
Rainbow revolution is really.
ππππππ
"kwishaaaa yangu habari'..!!
nikikumbuka kocha wako anampa zawadi kibu kwamba ni bonge la mchezaji nakubaliana na wewe kabisaaaaHadi sasa mpira wanaocheza yangu ni mbovu na hizo gori zimeingia kwa sababu mazembe ni wabovu..
Simba jana ilicheza mpira mkubwa sana ila raja walikuwa bora sana na ni mafundi.
Kumbe hawa rejects wa utopolo ndio wako Mazembe[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu wanashangilia kuwafungaπ«£π«£π«£Sub kwa Mazembe dakika ya 34 anaingia mkoko tonombe
Umekula tatu bila kwa mkapa. Tulia. Acha ngongongo nyiiiiiiingi. Umepigwa, tulia.Hadi sasa mpira wanaocheza yangu ni mbovu na hizo gori zimeingia kwa sababu mazembe ni wabovu..
Simba jana ilicheza mpira mkubwa sana ila raja walikuwa bora sana na ni mafundi.
Mlima mrefu japo inawezekana tu.View attachment 2523248
Mechi 3 za fainali za Simba hizi,kama anataka kufuzu anatakiwa kushinda zote